Bwana Armand Ngoma mupashaji wàhabari ame vumbuwa UKWELI kuhusu mambo zili pitaka siku ya ushaguzi mwaka 1959.
Raïs wa kwanza kiyisha maandamano ya uhuru, kutokeeya baruwa enye imeonyesha wa teule wenye kutafuta uchaguzi wa candidate walikuwa wengi, ila mwenye alikuwa na ushindi ni Mzee Charles Kisolokele.
Yéyé njo ali pataka ushindi kwa ile ushaguzi lakini wa beleji walikuwa na wabo mtuu mwenye walimuchaguwa Ili kuwa akina bwana Kasavubu.
Kuhusu dini la kimbanguisme,ime pata nguzo lake katika eneo ya kongo ama royaume kongo.Bwana mteule mfumu Kimbangu,mu undadji wa dini ilo, alitowaka masemi kusema « kusema mtuu mweusi ndiye atakuwa muzungu na muzungu atakuwa kishakazi la mtuu mwewusi ».
J.M