Mbele ya wandishi liwali wa jumbo mji mku Kinshasa, pamoja na mukubwa la umeme na waziri kusika na mambo la wandishi ,walitowa swali kuhusu msiba na wali po towa jibu ,kwa namna lao ya kuleta ukingo dju msiba huyu isi fikiye tena wa kahadji la mji mkuu Kinshasa .
Kwa swali lake mkurungezi la umeme ,alipo fasiriya namna gani kifu ilipo fika kwa wa fanya viahashara,akiongeza tena ya kwamba radi ndiyo ilipo piga kwa singa enye kupeleka uzani ya umeme ndio njo yao yame leta kifo .
Liwali wa jumbo mku Kinshasa yeye naye alio nesha namna gani jibu la serkali lake kuhusu ujengo la Soko mpya na ku kamata mazishi iyi na ata wazika .
Kwake msemaji la serkali waziri Patrick Muyaya alipo towa swali na kufasiriya namna gani raisi Félix Tshisekedi ame jitoleya djuu wa lete majibu kwa mangendo la raïa popote wamepatikana.
Yulio Bendera