Kwa Gilbert Fundi.
Mama wa haki,Denise Nyakeru Tshisekedi ali pokelewa na kishindo kunako masomo ya wana wake « Lycée kabambare » kwenye ali enda Ku towa heshima kwa bikira Betsy Brock.

Bana patikana mahali pote benye ku kumbukiwa na mke wa Raisi ya Jamuhuri ya Kidemocratia ya Congo Ku fatana na mambo wanayo tenda maishani mwaho. Wana wake wengi wali andika historia ya miaka makumi sita 60 iliopita ya inchi yetu nzuri.
Kuna wa zaliwa wa Congo,Na wengine wana ishi ao wali ishi intchini Congo kama vile intchini mwaho.
Djana Awa Ku kumbukiwa,Léo wame nyanyuliwa ku fatana na mupango wa Muke wa Raisi » conjuguon le Congo au féminin »; Ni Mupango mukubwa sana wa Gundi ya maendelo « fondation Denise Nyakeru Tshisekedi » enye ina elekeya mwanamuke katika Jamuhuri ya Kidemocratia ya Congo,mwenye anae kuwa nguzo la taifa.

Kati ya wana wake wenye wame toweka heshima,kuna ayati bikira Betsy Brock, ni yéyé mwenye Ali weka mupango Ku husu Mahadibisho dju ya maisha « Éducation à la vie » yenye ime fundishua kunako ma shoolé katika Jamuhuri ya Kidemocratia ya Congo,na Barani la Afrika. Mpango uyo,ume sahidiya vidjana Ku djuwa kudji kinga vizuri maishani mwaho.
Kutoka kunako shoolé lycée kabambare,Ali wasili kunako Lycée motema mpiko mutahani Kasavubu pâle wapi Bikira Françoise de Meyer, mwenye Aliye unda masomo iyo kunako muaka wa 1973 ali tolewa heshima kwa kazi Ali tumika.

Ali fundisha mpaka mwaka wa 2011.Vidjana wanawake wa inchi Congo Ku pita 10.000. Kazi Aliye tumika ni kubwa sana.
Kwa Ku maliza matembezi yake « maman mlinzi wa taifa » ali tembeleya Muke mwengine âme djulikana kwa djina la Mama Jackie Betoko Ngeli. Ni mu pashadji wa habari,anaye pitisha kipindi « bonsoir les petits »(mangaribi wa toto) kunako Radio télévision ya taifa(Rtnc) tangu mwaka wa 1968, pâle ana anza ku itwa « Tantine Jackie ».
Na jambo kama ili, mwanamke wa Jamuhuri ya Kidemocratia ya Congo ame heshimishua.










