Editorial7.net
  • Accueil
  • Editorial
  • Proximité
  • Politique
  • Culture
  • Développement
No Result
View All Result
Editorial7.net
  • Accueil
  • Editorial
  • Proximité
  • Politique
  • Culture
  • Développement
No Result
View All Result
Editorial7.net
No Result
View All Result

Shirika: Fondation Olangi Wosho mbele ya serkali na kigundi ya watu wenye wame taka kuwa nyanganya fazi ya mahombi pâle Limete

La Rédaction Par La Rédaction
il y a 5 ans
dans Non classé
0

Kutokana na upokelezi ya wa pasha habari Siku ya kwanza djuma iyo mueshemiwa Kiongozi mkuu la gundi la maendeleo Olangi Wosho Bwana Alain Olangi pamoja na Bwana Alphonse Ndjate wali towa mainyo lao, na mambo kuhusu madjambazi awa wenye wako nataka kuwa nyanganya lopango(concession) la mahombi pa 17eme rue .

Kwa maohonio lao wali fafanusha ya kwamba bwana Sefu Makambu aliye kuwa mtembezaji gari kwa societa la transaf ,kiisha kuingiya mu magumu ya maendeleo wa kubwa la societa ilo Waka ujisha lopango ( concession) izi kwa gundi la maendeleo Olangi Wosho. Mushangazo kubwa!Kuona imefanya miaka chache mapambano mbele ya serkali ime kuwa ya kudumu kati ya gundi ya maendeleo Olangi pamodya na bwana Sefu Makambu yeye aliye Pata kazi ma Transaf kwa kupitiya kwa ndugu zake alikuwa moja ya wa viongozi bote ba wili ndiyo wako nyuma ya iyi uzalendo dju makao ya ushindi ( cité de triomphe) inyanganyiwe.Kutoka na mwaka 2008 Siku 4 desemba ndani ya RCA 6117/6151/6152, kupitiya shirika la serkali Kinshasa/matete walitowa repoti lao enye ayi wezi ku rudishua.
[08/06 à 10:49] Julio Bendera: Kutokana na kuletwa kwa sheria pa luponga ( concession) imepatwa pa Kinshasa 17em rue limete n°20 yuko lupango ya gundi la maendeleo Olangi Wosho.Ku kataa kwa iyi repoti ,hakina Sefu Makambu aka shuka pa tshumba la cassation,mu RC 3348 na butengezo kwa makosa vyombo mu RC 4064 na aka fukuzwa na chumba la cassation iliyo kuwa shumba mku la sheria Siku 29/8/2012 na 23/82017
Kwa Siku 13/10/2014 , mweshimiwa mku djamadari la sheria pa jamuhuri ali Pata mahonio la Sefu na aka mu fafanusha ya kwamba lengo iyi aziwezi ku rudiswha tena mbele ya serkali kutokana na RCA 6117/6151/6152 n’a aka towa oda wasi rudiliye ye tena iyi mangendo djuu isilite mawuwadji ya buree kwa watu.
Kutokana na Siku 29 mwezi ya tano mwaka 2018, djuu ya mambo iyi shumba mku la sheria Kinshasa/matete, Waka ona ya kwamba bwana Sefu Makambu kuomba fukuzwa kwa ki nguvu la watu ndani ya lopangu( cité de triomphe) wakati ya kilio ya mzazi papa Olangi.
Aka fanya tena wito kwa sheria mu RCA 11237 kwa shumba la sheria Kinshasa matete,Siku 4 mwezi wa saba mwaka 2019, kwa kukosa ku eshimu ripoti la mukubwa djamadari la sheria ya jamuhuri,bwana Alexis Mvuekani presidenti kwa shumba ilo akatowa yake repoti enye azi ondoshwe ripoti za mbele enye imeombo apana tena ku gusa iyi neno kwani ilikwisha mu RCA 6117/6151/6152 Siku 4 desemba 2008 kutowa oda la kufukwa watu kwa ki nguvu kusahabu ya kwamba ki gundi ya maendeleo Olangi Wosho aliye uza lupango (concession) kwa societa transaf ya ku shangaha bwana Alexis Mvuekani akasahu kwa kusudi.Gundi f.o.w wa ka mohona inspecta mkuu la sheria kusika na mambo kuhusu kifungo yeye ndiye aka towa oda wasi toshe gundi la maendeleo f.o.w kwa kinguvu mu RCA 11237 iki akikishwa na presidenti ya shumba la cassation mu RC 61/ CR dju ya kuvunja repoti la ufukuzo
Na inspecta mkuu uyu aka wapa Siku 29 janvier 2020 ripoti za mwisho kwa waziri kusika na mambo la sheria,kwa mushangazo Waka towa tena ripoti la ufukuzo gundi F.o.w wakatowa nao ripoti ya pili enye ilidjazwa na uwongo na waziri kusika na sheria aka andika baruwa Siku 26/5/2021
Siku 24/5/2021 ndani ya shumba la cassation ,f.o.w wakaona upotevu la mukanda ya uwakikishi ya RCA 11237 ilie kamilishwa na mueshemiwa mkuu Maître Kaluba Dibwa yéyé ndiye presidenti la shumba la cour constitutionnelle, upotevu la mukanda na utshotshelevu la mikanda djuu ya kutafuta kw angusha f.o.w.Ya kwona mu RCA 6117/6151/6152 mu 4/12/2008 la shumba la sheria Kinshasa matete iko enye ayiwezi kufukwa milele ,akikisho la pili
Yaku dyuwa David Sefu Makambu aliye kuwa mutembezaji gari ndani ya societa transaf alipata kazi ilo kupitiya kwa Kaka yake Kutula Mwelo,yeye aliye kuwa modya ya viongozi na ame leta mawazo mbovu kiisha kudyuwa ya kwamba societa transaf aliye uzisha lupango(concession) kwa u haki na gundi la maendeleo Olangi Wosho nawo wali zi nunua kwa Pesa kutokeleya kwa wa aminifu duniani na popote, wa aminifu wame sangaa kuona fudjo iyi kudumu djuu bwana Sefu Makambu na gundi lake wame tchaguwa nyumba kwa presidenti la shumba la cassation.
Gundi la f.o.w wame piga kelele dju serkali pamoja na raïs wa jamuhuri wa angaliye neno izi vizuri.Kotokea baruwa la RC 61 /CR dju ya ukamilifu la sheria kueshimu ripoti iyi mu RCA 6117/6151/6152 ilitolowa Siku 4 desemba 2008 kwa shumba la sheria la Kinshasa/ matete imesema ya kwamba lupango (concession) la 17em rue limete kwa namba n°20 iko la gundi tsha maendeleo Olangi Wosho

La Rédaction
La Rédaction
La Rédaction

La Rédaction

Related Posts

𝗦𝗔𝗟𝗨𝗕𝗥𝗜𝗧𝗘 𝗘𝗧 𝗥𝗘𝗦𝗜𝗟𝗜𝗘𝗡𝗖𝗘 𝗨𝗥𝗕𝗔𝗜𝗡𝗘 : Le gouverneur 𝗗𝗔𝗡𝗜𝗘𝗟 𝗕𝗨𝗠𝗕𝗔 présente au Chef de l’État les avancées réalisées à Kinshasa
Editorial

𝗦𝗔𝗟𝗨𝗕𝗥𝗜𝗧𝗘 𝗘𝗧 𝗥𝗘𝗦𝗜𝗟𝗜𝗘𝗡𝗖𝗘 𝗨𝗥𝗕𝗔𝗜𝗡𝗘 : Le gouverneur 𝗗𝗔𝗡𝗜𝗘𝗟 𝗕𝗨𝗠𝗕𝗔 présente au Chef de l’État les avancées réalisées à Kinshasa

Par La Rédaction
21/05/2026
Nonda Shabani retire sa candidature à la FECOFA
Editorial

Élection présidentielle à la FECOFA : Nonda Shabani jette l’éponge avant le scrutin ( communiqué) 

Par La Rédaction
03/05/2026
RDC : Kinshasa et Lualaba dans le viseur du contrôle de la sous-traitance, annonce Miguel Kashal 
Editorial

RDC : Kinshasa et Lualaba dans le viseur du contrôle de la sous-traitance, annonce Miguel Kashal 

Par La Rédaction
03/05/2026
Commission Vérité, Réconciliation et Cohésion nationale :  l’Archevêque Dodo Israël Kamba s’entretient avec les autorités coutumières
Editorial

Commission Vérité, Réconciliation et Cohésion nationale : l’Archevêque Dodo Israël Kamba s’entretient avec les autorités coutumières

Par La Rédaction
24/04/2026
Tribune libre : Orphelinats, entre vocation sincère et business déguisé leonard Sangwa s’exprime 
Editorial

Tribune libre : Orphelinats, entre vocation sincère et business déguisé leonard Sangwa s’exprime 

Par La Rédaction
18/04/2026
Next Post

Titre: la fondation olangi Wosho en justice contre monsieur sefu makambu spoliateur de la cité de triomphe

État de siège : le triangle de la mort route kamango, eringeti est mbawu désormais sécurisé par les Fardc

Laisser un commentaire Annuler la réponse

Votre adresse e-mail ne sera pas publiée. Les champs obligatoires sont indiqués avec *

Articles Recents

𝗦𝗔𝗟𝗨𝗕𝗥𝗜𝗧𝗘 𝗘𝗧 𝗥𝗘𝗦𝗜𝗟𝗜𝗘𝗡𝗖𝗘 𝗨𝗥𝗕𝗔𝗜𝗡𝗘 : Le gouverneur 𝗗𝗔𝗡𝗜𝗘𝗟 𝗕𝗨𝗠𝗕𝗔 présente au Chef de l’État les avancées réalisées à Kinshasa

𝗦𝗔𝗟𝗨𝗕𝗥𝗜𝗧𝗘 𝗘𝗧 𝗥𝗘𝗦𝗜𝗟𝗜𝗘𝗡𝗖𝗘 𝗨𝗥𝗕𝗔𝗜𝗡𝗘 : Le gouverneur 𝗗𝗔𝗡𝗜𝗘𝗟 𝗕𝗨𝗠𝗕𝗔 présente au Chef de l’État les avancées réalisées à Kinshasa

21/05/2026
Nonda Shabani retire sa candidature à la FECOFA

Élection présidentielle à la FECOFA : Nonda Shabani jette l’éponge avant le scrutin ( communiqué) 

03/05/2026
RDC : Kinshasa et Lualaba dans le viseur du contrôle de la sous-traitance, annonce Miguel Kashal 

RDC : Kinshasa et Lualaba dans le viseur du contrôle de la sous-traitance, annonce Miguel Kashal 

03/05/2026
Commission Vérité, Réconciliation et Cohésion nationale :  l’Archevêque Dodo Israël Kamba s’entretient avec les autorités coutumières

Commission Vérité, Réconciliation et Cohésion nationale : l’Archevêque Dodo Israël Kamba s’entretient avec les autorités coutumières

24/04/2026
Tribune libre : Orphelinats, entre vocation sincère et business déguisé leonard Sangwa s’exprime 

Tribune libre : Orphelinats, entre vocation sincère et business déguisé leonard Sangwa s’exprime 

18/04/2026

Catégories

  • Culture (30)
  • Développement (19)
  • Economie (66)
  • Editorial (873)
  • Education (25)
  • Energie (4)
  • Environnement (3)
  • ESU (23)
  • Genre (5)
  • Justice (37)
  • Mines (2)
  • Non Classé (7)
  • Opinion Libre (62)
  • Politique (415)
  • Proximité (24)
  • Religion (5)
  • Santé (2)
  • Sécurité (39)
  • Social (17)
  • Société (56)
  • Sports (34)
  • Technologie (1)
  • Travail (8)
Editorial7.net

Editorial7.net est un médias de proximité en République Démocratique du Congo

Categories

  • Culture
  • Développement
  • Economie
  • Editorial
  • Education
  • Energie
  • Environnement
  • ESU
  • Genre
  • Justice
  • Mines
  • Non Classé
  • Opinion Libre
  • Politique
  • Proximité
  • Religion
  • Santé
  • Sécurité
  • Social
  • Société
  • Sports
  • Technologie
  • Travail

Recent News

𝗦𝗔𝗟𝗨𝗕𝗥𝗜𝗧𝗘 𝗘𝗧 𝗥𝗘𝗦𝗜𝗟𝗜𝗘𝗡𝗖𝗘 𝗨𝗥𝗕𝗔𝗜𝗡𝗘 : Le gouverneur 𝗗𝗔𝗡𝗜𝗘𝗟 𝗕𝗨𝗠𝗕𝗔 présente au Chef de l’État les avancées réalisées à Kinshasa

𝗦𝗔𝗟𝗨𝗕𝗥𝗜𝗧𝗘 𝗘𝗧 𝗥𝗘𝗦𝗜𝗟𝗜𝗘𝗡𝗖𝗘 𝗨𝗥𝗕𝗔𝗜𝗡𝗘 : Le gouverneur 𝗗𝗔𝗡𝗜𝗘𝗟 𝗕𝗨𝗠𝗕𝗔 présente au Chef de l’État les avancées réalisées à Kinshasa

21/05/2026
Nonda Shabani retire sa candidature à la FECOFA

Élection présidentielle à la FECOFA : Nonda Shabani jette l’éponge avant le scrutin ( communiqué) 

03/05/2026

Conçu par Tychic OBANDA

No Result
View All Result
  • Accueil
  • Editorial
  • Proximité
  • Politique
  • Culture
  • Développement
  • Education
  • Justice
  • Sports
  • Société
  • Technologie
  • Travail

Conçu par Tychic OBANDA