mapambano na kigundi ya M23 tume poteza kila wiki milioni 4 na milioni 6 |Modero Nsimba

Ilipo fanyishwa Siku 20 /07/2022 wahudumu Patrick Muyaya mwenye kusika na mambo la mawusiliano pamoja na waziri Modero Nsimba kusika na mambo la utali, walipo sungumza na wapasha habari pa mukutano ( briefing).

Kwa swali lao ilikuwa zahidi djuu ya utali ( tourisme) kipande ya Congo ya mashariki.

Waziri Modero Nsimba yéyé aliye sema kupitiya mapambano uyu inchi imepoteza franka nyingi ,kwanza kazi( emploi) dyu kume fungwa tovuti la Rwanguba.

pamoja na washirika ,tulikuwa na mradi la majengo la kunanguvu ya 28 Mw na ingine miwili,kwa tovuti iyi ilikuwa djuu kutowa maendeleo kwa mradi la utali Leo ime simamizwa na ime kupitiya milioni 70 ya kimerikani, kipande ya tu ya Rutshuru.na kama tuki funga kipande ya Bunagana, nawaza tuna poteza milioni 4 na 6 milioni ya kimerikani kila wiki,aliye sema bosi ya utali ya Congo ya kidemokratia.

Ifadhi la Virunga imekuwapo na hecta milioni 5 .
Drc imekuwapo na eneo kuu enye kulindwa kupitiya ma inchi ingine mu Afrika karibia 13,7%
Jamah ya kimatayifa ina pashwa kuhona namna gani Congo imetowa uzani kuhusu mambo la hali ya hewa ?aliye ongeza waziri Modero Nsimba.

Kwa iyo, waziri Modero Nsimba kusika na mambo la utali ame juta na iyo siasa la ujamii ya kimatayifa » awawezi ku tuomba tulinde maji matamu,na pori letu na kiisha wao tena njo wame kudja kutuleteya Vita ichini yetu ».

Kwa iyo ginsi wako na simamiya watu wengine wale wenye Ku uwa ma fasi kuu enye kulindwa duniani na djuu ya nini awawezi kulifanya djuu ya Virunga ?

Kwa iyo, tuko mu jumbo la mapambano na ile kipande kunako hali la usimamo tume fikiri kupendekeza kwa serkali kwani usimamizi ya ifadhi ya Virunga ipite mkononi kwa usimamo la majeshi,Kwani tuta kuwapo na jeshi kama mlinzi ya ifadhi ya Virunga iyo kupendekezwa kwake.
Mbola Priscille













