Waziri Patrick Muyaya kwa wandishi “ Tuna pashwa kuwa kunako mbele kwa vyombo vya habari”
Waziri msemaji la serkali ya jamhuri ya congo ya kidemokrasia alipo alika wa fanya kazi la vyombo la habari waweze ku atsha ku fanya mchezo la aduyi kwa wakati uhu ya Vita.
Ilipo fanyishwa siku 24 la mwezi oktoba muktano ya waziri Patrick Muyaya msemaji wa serkali na waziri Nicolas Kazadi yeye ameusika na kazi la fedha,mkutano uhu ilipo kuwa ongezi inaotajwa ukombozi ndani ya baraza la waziri.
Kwa wazi wazi ya zoezi la uwajibikaji,waziri Muyaya ali kumbusha ya kwamba mara nyingi alipo kutishwa kuhona kupitiya vyombo la habari sikizi ya vikosi uko mapambano na waasi ya M23 ya kudyuwa sauti izi ilio kabuliwa kwa mupashaji habari ya vyombo vya habari kimataifa ambao waziri akupenda ku taja jina lake.
Waziri Muyaya ame alika wapasha habari wa epuke mtchezo wa aduyi “wakati mume petisha kupitiya vyombo zenu la kazi matangazo na sauti y’a vikosi wenye wiko katika mapambano na aduyi,mume wa weka wazi. Kwa Sabubu sauti aya mulizipata namna gani na ime leta miulizo nyingi. Asa ni dyu ya kutafuta kudyionesha njo ime watuma kufanyizisha vikosi rekodi ? Izi zote inahitaji ma fikiri kina yenye ku fanyizisha kwa serkali na watumishi wakuu. Tuna pashwa kuwa mbele ya vyombo vya habari. Kunako madanganyiko enye ime tendwa kwa aduyi aliye sema.
Waziri kusika na mawasiliano na vyombo la habari alitaja mfano modya yenye kutembeya ndani ya ayo wame mu danganyikiya ya kwamba alie sema “ kunako luga mupya wakati kuna ko tu ruga ine la taifa enye iko ndani ya katika “
Waziri ali wakumbusha ya kwamba tangia yeye iko katika kiti iyo ame letesha ongezi karibu kati ya vikosi na wapasha habari dyu ya ku zungumuza na yaku dyuwa ndani ya jeshi kunako huduma ya mawusiliano na la habari.
Ku kamata urudisho dyu ya ku tafuta ukweli
Kwetu sisi serkali atuwezi ku waleteya habari mbovu. mbele ya udjiyo letu kwenu ya lazima tuna kamataka wakati ya kutafuta habari lolote kisha tuna wa leteya.kwani habari pa shamba la vita ina badirikaka saha zote. Inawezekana wa me nwambiya ya kwamba kijiji fulani imeanguka pa Saha 10h tena kijiji Yale imeweza tena kurudi mkononi na ku bakwa pa Saha 13h . amu wezi kudyuwa kama ilipo kuwa namna ya ku tega nyara dyu ya ku baka manteka aduyi.
Yulio bendera.