Tshumba tsha kazi la actualité.cd ili pokeya Siku ya mwezi 19 wapasha habari 14 walipo kudja kupata ulamulisho ya elimu kwa namna ya kutowa habari na mawasiliano.
kwa swali lake mwalimu Julie Tshienda Mwamba,aka onesha namna gani wapasha habari wana stairi ku geuza tena elimu, katika mafundisho ilo aka onesha tena namna gani tofauti yupo kati ya habari na mawasiliano,kupitiya miulizo na ma jibu aka lamusha tena ufundisho msingi yenye kuwa nguzo la kazi ya wapasha habari na mawasiliano.
Moja kati ya wapasha habari kwa djina la Fundi Gilbert mtendaji kwa éditorialhebdo na éditorial7.net aka towa shukrane kwa viiongozi la vyumba la habari actualité.cd Bwana Patient Ligodi na Congoprofond Bwana Tchèque Bukasa,kwa kuwaulika ndani ya ufundisho ilo enye ime wa ongezea elimu na kuwa lamusisha tena mafundisho enye walipo pata shooleni,enye wanao sahabu .
Ya ku dyuwa mwalimu Julie Tshienda Mwamba ametoka udjidji ubeleji dyu ya kuleta ufundisho kwa wa pasha habari pa djamuhuri ya kidemocratia ya congo.
Yulio Bendera.